BIASHARA AMBAZO AZIITAJI MTAJI MKUBWA BALI NI KUANZIA 0 MBAKA ELFU AMSINI TU NA UWEZE KUPATA MAFANIKIO MAKUBWA SANA

 



IZI NI BIASHARA AMBAZO AZIITAJI MTA

JI MKUBWA BALI NI KUANZIA 0 MBAKA ELFU AMSINI TU NA UWEZE KUPATA MAFANIKIO MAKUBWA SANA.

 Izi ni biashara ambazo aziitaji mtaji mkubwa ili uweze kuzifanya Bali Zina itaji mtaji mdogo wa mbaka elfu amsini (50000/=)  pia habari nzuri ni kwamba hatakama utakua una mtaji kabisa pia utaweza kufanya biashara izi  na ukapata mafanikio makubwa Sana na ukaweza kujivunia pesa nyingi Sana kwa mda mfupi Sana biashara ya kwanzani.

1.UFUGAJI WA KUKU ZA KIENYEJI NA UUZAJI WA KUKU




Hii biashara unaweza kuanza na mtaji wa shilingi elfu kumi na tano na unaweza kununua  kuku yako moja (tetea) na ukaanza kuifuga na baada ya mwezi mmoja kuku yako Ina weza ikawa imesha taga  kwa mfano ika totoa  vifaranga kumi na wewe vifaranga ivyo ukaviudumia vizuri baada ya miezi mitatu au mitano utakuja kuuza kuku  moja kwa shilingi elfu kumi utajikuta umetengeneza faida ya shilingi laki moja na pointi   

Au Kama ukipata mtaji wa shilingi elfu amsini na uka nunua kuku tano   eneo  wanaro uza kuku kwa Bei ndogo na ukaenda kuuza kuku izo eneo ambaro kuku Zina Bei mfano  ulinunua kuku kwa shilingi elfu Tisa au elfu kumi na wewe ukaenda kuuza kuku izo kwa shilingi elfu kumi na tano utajikuta kwa kuku moja umetengeneza faida ya shilingi elfu tano  kwa kuku mmoja na kwa kuku tano utajikuta unafaida ya elfu ishilini na tano .ndugu zangu biashara ihi inapesa nyingi sana  Kama ukiwa serious kuifanya utapata mafanikio makubwa sana.

  2.UDALALI WA NYUMBA






   

Ihi biashara aitaji  mtaji wowote  kuifanya Bali ni wewe nguvu zako kujitangaza  kwa jamii na ikakujua . biashara ihi ipo ivi 

Uyu no mtu ambaye  anamtafutia mtu nyumba inaweza kua ni nyumba ya kupanga au ya kununua na jua kwa wale wanao kaa mijini  ili neno (dalali)  sio geni kwenu   .kwamaana ihi yule mteja  uliye mtafutia nyumba ya kupanga au ya kununua  atabidi akulipe  asilimia Fulani  kutokana na kiwando wewe ambacho utakua umekiweka au yule mwenye biashara yake itabidi akulipe asilimia Fulani kwa kumpelekea mteja kwake  hapo ndugu yangu utajikuta unatengeneza pesa nyingi  kilaisi sana ni wewe tu kujitangaza soko lako mfano. 

 Unaweza  bandika mabango  sehemu mbalimbali na kujitangaza na kuachia mawasiliano yako na watu wakakutafuta wenye  uitaji wa nyumba za kupanga au chochote kile .pia  kunawele madalali wajanja unakuta dalali anachukua pesa Mara mbili yaani kwa  mteja na kwa boss  mfano ili aweze kukutafutia chumba au nyumba lazima umlipe  elfu ishirini au zaidi na kwa boss anapewa asilimia Fulani mfano elfu kumi kwaiyo utajikuta upo mbali sana




Kwaiyo ndugu zangu biashara hii Ina faida sana Kama  ukijua kujitangaza na watu wakakutambua  utapata faida sana na

Na utavuna pesa nyingi sana kwa mfamfupi unacho  takiwa kuifanya ni kujitangaza ili watu wapate kukufahamu  njia unazo weza kutumia kujitangaza ni kwakubandika mabango mtaani na kuweka namba zako za simu na watu wata weza kuku tafuta kupitia namba iyo  wa kiitaji uduma pia unaweza kua dalali wa kitu chochote ilimradi uweze kutengeneza pesa.

   3.KILIMO CHA MBOGA MBOGA NA BUSTANI.

Pia kwenye  kilimo Cha mboga mboga na bustani nako huku kunapesa nyingi na mtaji wake ni mdogo  mfano unaweza kuanza kilimo Cha mboga mboga ,maindi ya kumwagilia  pale ambapo mvua zitakua zimekatika au ata zikiwa Zina nyesha,pia unaweza kulima maarage ivi vyote vinaitaji mtaji mdogo  kuvifanya .turudi kwenye maada yetu 

Mboga mboga ni kitu muimu katika maisha ya mwana damu kwaiyo wewe ukianza  kuuza mboga mboga  utaweza kupata wateja wengi sana  kwasababu Ina wapenzi wengi kwa  mfano ukaanza kupeleka mboga zako mjini au kwenye eneo ambalo limechangamka  uta weza  kujipatia wateja wengi sana kinacho itajika ni wewe kua msafi tu pia na mboga zako Zina takiwa kuwa katika hali ya usafi  apo utaweza kupata wateja wengi pia unaweza kuanzisha kilimo Cha bustani mfano unakua  unalima mboga mboga na kuwapa watu wakauze hapo unaweza kupata pesa nyingi sana kwa sababu biashara  ihi  watu wengi wanaizarau na kuiona aina faida  lakini nikwambie ndugu yangu biashara ihi Ina faida sana na inaitaji mtaji mdogo sana kuifanya biashara ihi

  




        5.BIASHARA YA MATUNDA:

Ihi biashara ya kuuza matunda Ina faida sana  kwani unaweza kuuza matunda yako  kwa kuyatembeza kwenye beseni au unaweza  kutafuta sehemu ambayo imechanga mka na ukaanza kuuza matunda yako ukawa  una ya menya matunda yako na kuyakatakata  na kuwauzia watu mchanganyiko wa matunda kwa mfano  ukawa una weka na  ma papai ,para chichi,ndizi,ma nanasi,na ma tikiti maji, kulingana na mteja anaitaji mchanganyiko gani apo uta weza kupata pesa nyingi sana kwa sababu biashara ihi watu wengi wanaizarau na kuiona aina faida sana  ila nikwambie ndugu yangu biashara ihi ukianza kuifanya utapata mafanikio makubwa sana

 



Vitu vya msingi vya kuzingatia unapo fanya biashara ihi ni usafi wa wewe mwenyewe ,viombo unavyo fanyia biashara na mahali unapo fanyia biashara akikisha ni pasafi .apo utaweza kupata faida kubwa sana kwani watu wengi awapengi uchafu kwaiyo akikisha upo msafi mda wote. Pia biashara ihi aitaji mtaji mkubwa  ni pesa kidogo ili uweze kuanza biashara ihi na nakuakikishia utapata wateja wengi ivyo utaweza kuvuna pesa nyingi sana.


Kwa samale na taalifa zaidi tazama video ihi uweze kujifunza mengi   pia usisahau ku subscribe katika channel yetu


Asante kwa kua nasi   pia endelea kua nasi

Unaweza kutupata kwa kupitia namba 

No:  0745448890

Pia achia comment yako


Comments

Popular posts from this blog

SUCCESS RULES

UYU NDIO SHUJAA KATIKA DUNIA HII

RULES OF SUCCESS