Posts

Showing posts with the label Uwekezaji

SIRI KUBWA YA MAFANIKIO

Image
  SIRI KUBWA YA MAFANIKIO KATIKA MAISHA . Ili uweze kufanikiwa katika maisha yako akikisha unajikita katika uwekezaji wekeza zaidi ili uweze kufanikiwa katika maisha yako kwani pindi unapo wekeza ndio unajiweka katika nafasi kubwa sana ya kufanikiwa katika maisha yako kwa sababu pindi unapo wekeza ni kama unapanda mti hivyo kunasiku utaanza kukuletea matunda  ndiomaa na kushauli uwekeze zaidi katika maisha yako ili uweze kufanikiwa zaidi katika maisha yako na ningependa sana kukushauri uwekeze katika maeneo mbalimbali ili uweze kufanikiwa zaidi katika maisha yako mfano Mo dewji  amewekeza katika maeneo mbalimbali hivyo ndo imekua rahisi kwa yeye kupata mafanikio zaidi katika maisha yako. FAIDA ZA KUWEKEZA MAENEO TOFAUTI TOFAUTI. 1. itakua ni ngumu sana kwa wewe kufilisika katika maisha yako kwa sababu pindi ambapo biashara moja itaenda vibaya biashara nyingine itaende vizuri .ndo maana na kushauri  uwekeze zaidi katika maisha yako kwa kwa kufanya ivyo itakua ni ...

MASWALI YA MSINGI YA KUJIULIZA KAMA UNAITAJI MAFANIKIO KATIKA MAISHA YAKO

Image
   MASWALI  YA MSINGI YA KUJIULIZA  KAMA UNAITAJI MAFANIKIO KATIKA MAISHA YAKO AKIKISHA UNAJIULIZA MASWALI HAYA          Katika maisha  ili uweze kufanikiwa  lazima ujiulize maswali haya ya msingi  pasipo kujiuliza maswali haya kufanikiwa itakuwa ni jambo gumu sana katika maisha yako .kwaiyo ndugu yangu akikisha unajiuliza maswali haya  kama unaita mafanikio  katika maisha yako   swali la kwanza    1. NINI UNAITAJI KATIKA MAISHA YAKO :  Ukishindwa kujua kitu gani  ambacho unakiitaji katika maisha yako itakua ni swala gumu sana kwa wewe kufanikiwa  kwa sababu utakua ujui mahali gani pa kwenda na kitugani unakiitaji katika maisha yako .kwaiyo ndugu yangu akikisha unatambua kitugani ambacho unakiitaji katika maisha yako  .mfano  unaitaji  kufungua biashara ,Ku msanii ,kua mfanya biashara mkubwa duniani   n.k akikisha  kwamba unatambua kitu gani  ambach...

WEKEZA PESA YAKO KATIKA SEHEMU IZI ILI UWEZE KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAKO

Image
     USISAHAU KU        __    BUBSCRIBE ,       __    KU LIKE  PIA NA KU COMMENT

TOFAUTI ILIYOPO KATI YA LIABILITIES NA ASSET

Image
   UTOFAUTI ULIOPO  KATI YA  LIABILITIES NA ASSET Watu wengi wamekua wakijichanganya sana katika kutofautisha vitu hivi viwili asset (Mali )  na  liabilities  .na ivyo hupele kea mtu kununua asset akizani ni liabilities na mtu kununua liabilities akizani kwamba ni asset  .leo kitu ambacho ningependa Ku share na nyinyi  ni kuusu utofauti uliopo kati ya asset na liabilities kwakiswahili _____Asset: ni Mali _____liabilities : ni madeni Lakini kwa maana zake Asset. ; Ni kitu chochote ambacho ukikifanya katika maisha yako kina kuletea pesa mfukoni  . yaani baada ya kukifanya hicho kitu kinakua kina kua kinakuingizia pesa mfukoni  mfano biashara ,nyumba za kupangisha ,uwekezaji n.k  na vitu vingine vyote unavyo viona kama ukivifanya vitakua vinakuingizia pesa na pasipo wewe kutoa pesa yako  yaani inakua inajiendesha yenyewe mfano biashara ,kampuni, au nyumba  wewe kazi yako inayo baki ni kusimamia .na ngoja kwanza nikwambie...