IZI NI AINA MBILI ZA MAUMIVU ZINAZO WATESA WATU WENGI DUNIANI

  



IZI NI AINA  MBILI ZA MAUMIVU ZINAZO  WATESA WATU WENGI  DUNIANI

Katika maisha yako maamuzi yako yako mikononi mwako wewe ndio unaweza kuamua atima yako na ya maisha yako.

Aina ya kwanza ya maumivui

1.MAUMIVU YAKUTO  KAMILISHA JAMBO FULANI AU LENGO LAKO

Au kwamaa na nyingine aya nimajuto. Nayana tokea pale mtu ulipo puuzia kufanya jambo Fulani katika maisha yako na aya maumivu umtesa mtu mbaka atakapo ondoka duniani  lakini kwa wakati  unafanya maamuzi ayo mtu ujiona mjanja lakini baada ya mda mtu uyo atajiona mpumbavu katika maisha yake yote  kwa sababu wakati wengine wanachumia juani kwa bidii na juudi zote yeye alikua akila bata au raha na na wakati wengine wanajinyima mbaka kulala ili tu watenge neze kesho zao yeye aliwaona ni wapumbavu  lakini ana kuja kujijua Kama alikua mpumbavu sana na wakati uho anakua kasha chelewa 

2.MAUMIVU YAKU FANYA JAMBO FULANI AU KUTIMIZA JAMBO FULANI 

Aya ni maumivu ambayo mtu ana yapata kwamda pindi anapo kua anaitaji kukamilisha malengo yake  kwa sababu ili aweze kutimiza malengo yake ni lazima atapitia kwenye wakati mgumu wakati Fulani na kuzaraulika, kuto eshimika,lakini aya maumivu aya dumu ni yamuda tu upo wakati utafika atasahau maumivu yote aliyo pitia katika  maisha yake yote na ataishi kwa fulaha na amani miaka yote .kwasababu alipanda juani na aliumia sana,alizaraulika sana na kuonekana hana samani lakini mtu uyo atalia kivulini pasipo na makelele zarau ,masemango ,pia na kejeli 

KWA TAALIFA ZAIDI TAZAMA VIDEO IHI USISAHAU KU SUBSCRIBE. 








Ni Mimi 

Name; Denis Jenson 

No.     ;0745448890

 Asante




 

Comments

Popular posts from this blog

UYU NDIO SHUJAA KATIKA DUNIA HII

SUCCESS RULES

SHERIA ZA MAFANIKIO