MAMBO YA KUZINGATIA ILI UWEZE KUPATA WATEJA WENGI KATIKA BIASHARA YAKO

 MAMBO YA KUZINGATIA ILI UWEZE KUPATA WATEJA WENGI KATIKA BIASHARA YAKO.

Mambo ya kuzingatia ili uweze kupata wateja wengi katika biashara yako

         Aya ni mambo ya msingi  ya kuzingatia kama wewe  ni mfanya biashara ili uweze kupata wateja wengi katika biashara yako 

NB: mteja katika biashara yoyote ile ni mfalme kwani bira yeye hakuna ambacho utakipata zaidi zaidi biashara yako ita kufa hivyo unatakiwa kuwa makini unavyo muudumia mteja ili uziweze kumpoteza uyo mteja na umfanya akawalete wateja wengi katika biashara yako akikisha unazingatia mambo aya ya msingi kama wewe ni mfanya biashara au una  ndoto Siku moja kua mfanya biashara akikisha unazingatia mambo aya

           1.kua na lugha nzuri unavyo muudumia mteja:

Akikisha sha unavyo muudumia mteja unatumia lugha nzuri sio lugha za matusi na kejeli kwani  kwa kufanya ivyo utasababisha  mteja uyo asije tena mahali unapo fanyia biashara akikisha unatumia lugha nzuri isiyo na matusi kejeli majivuno  na lugha isiyo na  ukali kwani kwa kufanya  ivyo  utaweza kupata wateja wengi katika biashara yako kwa sababu hakuna mteja ambaye ana penda kuzalauliwa  pia akuna mtu yoyote yule anaye penda kutukanwa hivyo kama wewe ni mfanya biashara akikisha unatumia lugha nzuri kwa wateja wako.

     2.Wasikilize wateja wako:

Kama wewe ni mfanya biashara akikisha una wasikiliza wateja wako kitu ambacho wana itaji pia apa unaitajika kua makini sio kila kitu ambacho wata kwambia basi wewe usikiliza  una takiwa upembue mfano wateja wako wanaitaji bidhaa Fulani   na iyo bidhaa wewe labda ulikua una  na mteja akaja kukushauli kwamba uweke bidhaa ivyo  kwaiyo wewe mtoa huduma  unatakiwa kuwasikiliza nini ambacho  wanaitaji kama ni kizuri wewe Fanya .kwani kwa kufanya ivyo utaweza kupata wateja wengi katika biashara yako lakini usipo wasikiliza wateja wako utaweza kupoteza wateja katika  biashara yako.

      3.Usiitaji kupata faida kubwa kwa mda mfupi :

Kila binadamu ana tamani sana kupata  mafanikio makubwa kwa mda mfupi lakini katika biashara kama unaitaji kupata wateja wengi akikisha  auchukui  faida kubwa sana katika bizaa zako au uduma ambayo unaitoa unatakiwa kua na bei rafiki kwa mteja  bei ambayo aita muumiza mteja na wewe kwa kufanya ivyo utaweza kupata wateja wengi katika biashara yako lakini ukiitaji kupata faida kubwa kwa mda mfupi uta poteza wateja wengi   akikisha una kua na bei ambayo ni lafiki kwa mteja na ambayo wewe haita kuumiza  .

Ivi umesha wai kujiuliza kwanini maduka ya jumla  yana wateja wengi  sana?

Ipo ivi  mtu yupo tayali kutembea umbali mrefu  kwa sababu ya punguzo  tu ya 300%

Akikisha una kua na bei rafiki kwa wateja wako.


          4.kua mtu mwenye tabasamu unapo kua  eneo la biashara :
Unatakiwa  kua ni mtu wa tabasamu pale  unapo kua katika eneo la kazi kwa kufanya ivyo utafanya wateja wapende sana kuja katika eneo ambalo wewe unafanyia biashara  hivyo jitaidi sana kua mtu wa tabasamu  pindi unapo kua katika eneo la kazi na sio unakua ni mtu mwenye hasira tu kila wakati kwani kwa kufanya ivyo utasababisha wateja  wengi wasije katika eneo la biashara yako  hiyo jitaidi sana kua mtu mwenye  tabasamu. Kila wakati katika eneo la biashara mfano wewe  umeenda kwa rafiki yako na pindi ulipo fika tu ukakuta rafiki yako uyo  ame nuna je utaenda tena kwake?
Hiyo akikisha unakua mtu mwenye tabasamu kila wakati katika eneo la biashara yako

              5.Akikisha  unafungua biashara yako kila Siku:
Ili ni jambo la muhimu  sana katika biashara yako  ili uweze kupata wateja wengi katika biashara yako akikisha unafungua biashara yako kila Siku kwani ukiwa siku zingine ufungui  biashara yako  iyo itasababisha uweze kupoteza wateja wengi katika biashara yako kwa sababu mtu anakuja katika eneo ambalo unafanyia biashara na anakuta biashara imefungwa kwaiyo ataenda katika eneo lingine na kama akilizika na uduma  za eneo hilo ata  kua mteja wa wamtu mwingine wewe ata kuama  hivyo jitaidi kila siku uwe unafungua biashara yako
             6.Toa bidhaa zenye ubora :
Ili uweze  kupata wateja wengi katika biashara yako akikisha  unatoa bidhaa zenye ubora kwani kwa kufanya ivyo wateja wengi watakua wanakuja katika eneo  ambalo wewe unafanyia biashara kwa sababu unatoa bidhaa zenye ubora kwa bei rafiki kwa mteja  apo utaweza kupata wateja wengi katika biashara yako 
          
Kwa mafunzo  zaidi tembelea YouTube channel yetu
Inayo itwa : Denis Jenson
Kalibu sana uweze kujifunza zaidi






















.



Comments

Popular posts from this blog

MAMBO YA KUZINGATIA ILI UWE MFANYA BIASHARA MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA

SHERIA ZA BIASHARA