MAMBO YA MSINGI YA KUZINGATIA ILI UWEZE KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAKO

 







  denismpinga99: EPISODE  : 2

MAMBO YA MSINGI YA KUZINGATIA ILI UWEZE KUFANIKIWA KATIKA MAISHA YAKO

   AYa ni mambo ya kuzingatia ili uweze kupata mafanikio katika maisha yako  

1. Akikisha  unajikita katika uwekezaji :

ili uweze kufanikiwa katika maisha yako ndugu yangu akikisha kwamba unajikita sana katika uwekezaji  kwa sababu ukishindwa kuwekeza katika maisha yako ni vigumu sana kupata mafanikio  kwaiyo ndugu yangu ili uweze kufanikiwa katika maisha yako akikisha unajikita sana katika uwekezaji ikijitokeza fursa ya kuwekeza ndugu yangu akikisha  unawekeza yaweza kua katika biashara ,share yaani hisa za makampuni mbalimbali au fursa yoyote ile ambayo unaona kama ukienda kuwekeza  utaweza kupata mafanikio kwaiyo ili uweze kufanikiwa katika maisha yako akikisha unajikita sana katika uwekezaji.

2.Akikisha una tumia mda wako vizuri :

Ukishindwa kutumia mda wako vizuri yaani time management katika maisha yako itakua ni vigumu sana kupata mafanikio  kwa sababu bila ya Ku plan mda wako vizuri na kujiwekea ratiba ya siku yako yaani akikisha unajua  nini utakacho fanya kesho na kwa wakati gani ukishindwa kutambua hayo inakua ni vigumu sana kwa wewe kupata mafanikio kwani  utajikuta siku yako imeisha pasipo wewe kufanya kitu chochote kwaiyo ndugu yangu akikisha una manage mda wako na pangilia ratiba yako


KWA TAALIFA ZAIDI NA MAMBO MENGINE YAKUZINGATIA  TAZAMA VIDEO HII PIA AKIKISHA AHU SAHAU KU SUBSCRIBE ,KU LIKE,KU SHARE,NA KU COMMENT ASANTE

   YouTube  ; napatikana kama

 Denis Jenson 

      Tazama video hii




Prepared  by ;

DENIS JENSON

PHONE NO:

0745448890

EMAIL:

denismpinga99@gemail.com

Comments

Popular posts from this blog

MAMBO YA KUZINGATIA ILI UWE MFANYA BIASHARA MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA

SHERIA ZA BIASHARA