UYU NDIO SHUJAA KATIKA DUNIA HII
USHUJAA WA MTU YOYOTE YULE HUONEKANA PALE AMBAPO.
___Ana feli lakini hakati tamaa na anaendelea kupambania malengo yako.
___Alazimishi mtu yoyote yule ampende katika maisha yake yaweza kua ni rafiki yake,mpenzi wake,au mtu yoyote yule.
___Ajali pale watu wanapo mtukana na kumsema.
___Amchukii mtu yoyote yule katika maisha yake na anakua na furaha mda wore.
___Ana mheshimu kila mtu .
___Ana wekeza zaidi.
___Anajifunza zaidi.
___Anamuonyesha mapenzi ya zati mtu anaye mpenda.
____Ana Fanya kitu ambacho ana kipenda .
Uyo ndio shujaa na uho ni ushujaa wa binadamu
JE WEWE NI SHUJAA WA KIPI KATI YA VITU HIVI NILIVYO VITAJA
Comments
Post a Comment