ILI UWEZE KUFANIKIWA YA KUPASA UFAHAMU JAMBO ILI
ILI UWEZE KUFANIKIWA YAKUPASA UFAHAMU ILI
Kila kitu katika maisha kinatokea kwa sababu ivyo kama mtu ni maskini kuna sababu ambayo inamsababishia yeye awe maskini mfano apendi kujifunza mambo mapya kila siku apendi ku wekeza zaidi n.k na kama kunamtu ni tajili basi ivyoivyo kuna sababu ambayo inamsababishia yeye awe tajili mfano anawekeza zaidi ,au anatumia akili sana katika kufanya mambo yake
Ivyo jitaidi kutafuta sababu ambayo inakusababisha wewe kuishi ivyo maana kila kitu kinatokea kwa sababu katika dunia hii mfano wewe mwenyewe mwenyezi mungu alikuumba kwa sababu Fulani au uje kufanya jambo Fulani pia kila kitu ambacho unakiona kipo kwa sababu katika dunia hii
Hivyo jitahidi kutafuta sababu ambayo inakusababishia wewe kuishi ivyo ili uweze kubadili maisha yako
Comments
Post a Comment