MAFANIKIO

 Katika maisha epuka sana kufanya vitu ili uwafurahishe  watu   Fanya kitu ambacho  unakipenda kutoka moyoni mwako .

Kwa sababu watu wengi wanashindwa kufanikiwa katika maisha yao kwa sababu ya kupenda kufanya vitu ili wawafurahishe watu wengine.

 

FAIDA ZA KUFANYA  KITU AMBACHO UNAKIFANYA.

__Utakua na furaha  katika maisha yako sababu unafanya  kitu ambacho unakipenda 

__utakifanya kwa ufanisi mkubwa sana .

__utavumilia katika wakati mgumu utakao kua unapitia sababu unafanya kitu ambacho unakipenda.

"Penda kitu ambacho  unakifanya"

        NA

"Fanya kitu ambacho unakipenda"

Ili uweze kufanikiwa katika maisha yako

  Kwa sababu ukifanya kitu ambacho wewe wenyewe unakipenda kutoka moyoni mwako itakua ni lahisi sana kwa wewe kufanikiwa katika maisha yako.

Hivyo basi akikisha unafanya kitu ambacho wewe unakipenda kutoka moyoni mwako na itakua ni rahisi sana kwa wewe kufanikiwa katika maisha yako.



Comments

Popular posts from this blog

MAMBO YA KUZINGATIA ILI UWE MFANYA BIASHARA MWENYE MAFANIKIO MAKUBWA

SHERIA ZA BIASHARA